(Picha na Aron Msigwa)
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Aug 31, 2010
Designers visiting the Textile Sector Development Unit
Dr. Bilal Aendelea na ziara ya kampeni masasi na nayumbu!!!





tano Wa Marais Wastaafu Wafanyika Jijini Dar
(Picha na Aron Msigwa)
Aug 29, 2010
Chama cha NCCR Mageuzi chazindua ilani yake ya uchaguzi

VODACOM YAFUTURISHA PANGANI NA KUGAWA MISAADA YA CHAKULA KWENYE MADRASA!!

Mtoto Bwaga Abdallah akipokea mfuko wa sukari kutoka kwa Maafisa wa Vodacom Foundation Grace Lyon kulia na Mwamvua Mlangwa wa pili kutoka kulia huku akisaidiwa na Sheikh Mohamed Khalili kushoto kutoka Tanga mjini na Sheikh Khamis Rashid Mwakilishi wa Sheikh wa Pangani wa pili kutoka kushoto, katika msaada huo pia Vodacom Foundation iligawa Mchele, Maharage, mafuta ya kula pamoja na vifaa vya shule.

CUF wazindua kampeni zaao


Rais Kikwete Awasili Mkoani Mbeya
Dr.Bilal aendeleaa kuinadi ilani ya CCM mkoani mtwara




Rais Kikwete apokelewa kwa shangwe sumbawanga na mpanda
Wanachi wa mji wa Sumbawanga wakiwa wamefurika ndani ya Uwanja wa Mandela kumsikiliza Rais Jakaya Kikwete wakati akiwahutubia.
Warembo wa Miss Tanzania watembele mapango ya amboni tanga
Aug 28, 2010
RAIS JAKAYA AWASILI MPANDA TAYARI KWA KAMPENI!!
Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA mama Salma Kikwete ziarani mkoani Mbeya!!
Kikundi cha ngoma ya asili cha wakina mama mkoani Mbeya kikimtumbuiza Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) alipowasili (Agosti 28.2010) katika uwanja wa ndege wa Mkoani Mbeya katika muendelezo wa ziara zake za kuwahamasisha wanawake wa UWT kuhusu Uchaguzi Mkuu mwaka huu.Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.