(Picha na Aron Msigwa – MAELEZO).
Mkurugenzi wa Taasisi ya kupambana na Rushwa TAKUKURU Dk. Edward Hosea kushoto Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Friderick Werema kulia na Naibu Mwanasheria mkuu George Masaju pamoja na washiriki wengine wa mkutano huo wakifuatilia kwa makini wakati ulipokuwa ukiendelea leo mara baada ya kufunguliwa rasmi.
Mwanasheria mkuu wa Malaysia na Rais wa mkutano wa mwaka wa 48 wa Umoja wa Mashauriano ya sheria kwa nchi za Asia na Afrika(AALCO) Bw. Abdul Gani Patail akiongea na washiriki wa mkutano huo leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi , Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Philip Marmo kushoto na viongozi wa Mkutano wa 49 wa Umoja wa Mashauriano ya sheria kwa nchi za Asia na Afrika wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa mkutano huo leo jijini Dar es salaam.
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Aug 5, 2010
Mkutano wa wanasheria wa Africa na Asia (AALCO) wafunguliwa jijini Dar es salaam!!
MAONESHO YA NANENANE YAENDELEA MKOANI - DODOMA!!



M-Net's Big Brother ALL STARS: Images from day 16 (Tuesday August 3, 2010)


Aug 4, 2010
WAKALI WA JALA MAN RECORDS NDANI YA STUDIO ZA RADIO MLIMANI






Aug 3, 2010
Wizaraya Viwanda Biashara na Masoko katika Maonesho ya Nane Nane Dodoma
Maonesho ya 88 mwaka 2010 yameanza kwa kishindo mjini Dodoma. Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko(WVBM) imejipanga kikamilifu kutoa huduma bora kwa muda wote wa maonesho. Tafadhali, usikubali kuhadithiwa, fika mwenyewe katika banda lao, ujionee..
Naibu Waziri wa Miundo mbinu Mh Hezekia Chibulunje na Mkuu wa Mkoa wa Singida Parseko Kone wakitembelea banda la WVBM.
Mgeni rasmi katika ufunguzi Mh Parseko Kone akipata maelezo kuhusu trekta jipya la kisasa lilitengenzwa na taasisi ya Camartec.
Dk. Asha-Rose Migiro Azindua Mradi wa Maktaba Mtandao LRCT
HAWA NDIYO WACHEZAJI WALIOITWA KWENYE TIMU YA TAIFA AKIWEMO JUMA KASEJA BAADA YA KUSOTA MUDA MREFU!!

Wachezaji 27, watakaoingia kambini kwa ajili ya kujiandaa na mchezo kati ya timu ya taifa ya Misri na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ambao wanatarajiwa kuingia kambini siku ya jumatano. Golikipa wiki hii na majina yao chini ya kocha Jan Paulsen.
Jackson Chove (Azam FC), Shaaban Kado (Mtibwa), Juma Kaseja (Simba) Fullbacks Shadrack Nsajigwa (Yanga) Salum Kanoni (Simb Stephano Mwasika Juma Jabu (Simba) Idrissa Rajab (Sofapaka Kenya) Center Backs Nadir Haroub 'Cannavaro' (Yanga) Kelvin Yondani (Simba) Erasto Nyoni (Azam FC) Aggrey Morris (Azam FC) Midfielders Nurdin Bakari (Yanga) Abdulhalim Humoud (Simba) Henry Joseph (Kongsvinger- Norway), Uhuru Seleman (Simba) Abdi Kassim (Yanga) Jabir Aziz (Azam FC) Kigi Makasi (Yanga) Seleman Kassim 'Selembe' Nizar Khalfan (Vancouver Whitecaps-USA) Forwards Mrisho Ngassa (Azam FC) John Bocco (Azam FC) Jerson Tegete (Yanga) Mussa Hassan 'Mgosi' (Simba). Danny Mrwanda (DT Long An- Vietnam).
LADY JAY DEE AMSHUKURU MUNGU, WAZAZI NA MUME WAKE GADNER G. HABASH!!

KWANZA NATOA SHUKRANI KWA MWENYEZI MUNGU KWA KUNIPA NGUVU NA KIPAJIWAZAZI BABA (MAREHEMU) NA MAMA KWA KUNILEA KATIKA MAADILI MAZURIWADAU NA MASHABIKI WA MUZIKI WANGU, VYOMBO VYOTE VYA HABARI KWA SUPPORTGARDNER G HABASH KWA KUNIPA MUONGOZO MZURI KATIKA KAZI YANGU:
KUHUSU MIAKA 10 YA LADY JAYDEE:Ni hatua kubwa kwangu binafsi kufikisha miaka 10 kwani kuna wengi nilioanzanao wameshindwa na kuishia njiani, hii ni changamoto kubwa sana kwangu yakunifanya niogope kuhusu kesho...Nimeamua kufanya sherehe za kuadhimisha kudumu kwangu katika kiwanda cha muzikikwa miaka 10.
Ambapo show itafanyika tar 6 August 2010. Kaitka ukumbi wa MZALENDO PUBMillenium TowersKiingilio kitakuwa 20,000/= kwa watakao book table (reserved)Na sh. 10,000/= kwa wengine wote watakaolipia mlangoni siku hiyo ya onyesho.
Siku hiyo kutakuwa na uzinduzi wa Albuma ya kwanza ya Band yangu ya MACHOZIinayoitwa COMBINATIONGazeti la Shear Illusions litauzwa kwa sh.5,000/= ambapo ndani ya gazeti hilokuna free copy ya CD mpya ya MACHOZI BAND.
Nitapiga nyimbo zote kuanzia album ya kwanza ya 1.MACHOZI, 2.BINTI, 3.MOTO4.SHUKRANI na nyimbo zingine za band zilizotamba kama Mtarimbo na Nilizama(Brotherman)
ALBUM YA COMBINATIONMajina ya nyimbo zilizomo kwenye album ya Combination ni:1. Raha2. Siku ya Kufurahi3. Teja 4. Mtarimbo dORO5. Elimu Shule6. Nilivyo7. Tunakuja8. Uko Juu9. Inuka Simama10. Nilizama (Brother)11. Natamani Kuwa Malaika12. Teja (Afro - Pop) Majina ya waimbaji wa mbele wa Machozi Band ni, Jonico Flower, Mao Santiago,Mwinyi Goha na Sam Machozi.
KURA ZA MAONI CCM HADI SASA!!
Na www.michuzi-matukio.blogspot.com
Miongoni mwa wanasiasa mahiri na wakongwe walioangushwa ni Mbunge wa Mtera, John Malecela, ambaye ameliongoza jimbo hilo kwa miaka zaidi ya 25, ambapo amekwaa kisiki kutoka kwa Katibu wa UVCCM wilaya ya Tarime, Livingstone Lusinde.
Mzee Malecela alipata kura 3,326 katika kata 13 kati ya 19 wakati mpinzani wake Lusinde amepata kura 3,375.Hata hivyo, Lusinde alifika katika ofisi za katibu huyo na kudai amekamilisha matokeo ya kata zote na ameshinda kwa kupata kura 5,810 wakati Malecela ana kura 5,379 .Barongo alisema katika jimbo la Mpwapwa, mbunge wa zamani George Lubeleje alipata kura 4,830 huku mpinzani wake Gregory Teu akipata kura 7,777.Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene, aliibuka kidedea katika kata 13 kati 16 baada ya kupata kura 8,824 huku mpinzani wake Aggrey Galawika akiwa na kura 2,537.Miongoni mwa wanasiasa mahiri na wakongwe walioangushwa ni Mbunge wa Mtera, John Malecela, ambaye ameliongoza jimbo hilo kwa miaka zaidi ya 25, ambapo amekwaa kisiki kutoka kwa Katibu wa UVCCM wilaya ya Tarime, Livingstone Lusinde.
KATIKA KUSHEREKEA MIAKA KUMI JAY DEE KUSOMESHA YATIMA WAWILI!!
Mwanamuziki huyo amesema katika kusherehekea miaka yake hiyo kumi katika muziki PIA atawachagua watoto wawili ambao ni yatima kutoka katika vitua kadhaa hapa nchini na kuwasomesha kwa kulipia gharama zote kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha Nne katika kusaidia watoto wenye matatizo mbalimbali ya kibinadamu.
Jay Dee amesema kwamba anafurahia mafanikio yake katika muziki na amesema kitu kikubwa ni kuwa na nidhamu unapofanya kitu chochote kinachoweza kukuletea mafanikio katika maisha yako ya kila siku hivyo muziki anauheshimu na kuupenda kwa kuwa ndiyo kazi yake.
MGOMBEA URAIS WA NCCRA MAGEUZI ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI!
WAKATI WA KUCHUKUA FOMU OFISI ZA TUME YA UCHAGUZI LEO

(Picha Aron Msigwa - MAELEZO na Freddy maro)
Msafara wa magari ukielekea katika ofisi za Tume ya Uchaguzi wakati Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Rais Jakaya Kikwete alipokuwa akisindikizwa na wana CCM kwenda kuchukua fomu leo
Mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. Jakaya Kikwete kuchukua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi akiteta jambo na Katibu mkuu wa CCM Yusuph Makamba(kulia) leo katika viwanja vya ofisi ndogo ya CCM ya Makao makuu Dar es salaam wakati wa kumsindikiza Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Jakaya Kikwete kuchukua fomu ya Urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi.Kushoto ni mgombea mwenza Dkt Mohammed Gharib Bilal.
Mama Salma Kikwete akiwa na Mama Maria Nyerere leo katika viwanja vya ofisi ndogo ya CCM ya Makao makuu Dar es salaam tayari kumsindikiza Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt. Jakaya Kikwete kuchukua fomu ya kugombea Urais Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Makundi ya watu wenye ulemavu yakijitokeza kuunga mkono juhudi za Mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. Jakaya Kikwete kuchukua fomu leo jijini Dar es salaam.



RAIS JAKAYA NA MGOMBEA MWENZA WACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI LEO!!
Aug 1, 2010
MLIMANI TV LEGEND-SYLIVIAH MWEHOZI





PITA PITA YANGU MTAANI JUMAPILI YA LEO.







Subscribe to:
Posts (Atom)
ME MYSELF & I
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)