Pol ambaye amehitimu kidato cha sita mwaka 2009 na kwa sasa mpango wake ni kujiendeleza zaidi kielimu ameweka wazi kuwa mdundo wake mpya unaokwenda kwa jina la NUMBER 1FAN ni skendo ya kweli iliyomtokea yeye mwenyewe na kusababisha upande wake wa pili wa maisha kukumbwa na misuko suko kiasi cha Yule ambaye alikuwa akitamani kumpata na baada ya kumpata akampenda b’se kila mmoja anahisia nahii kitu mapenzi so dizaini nae akawa amezama kwa manzii ambaye aliamini they will be together for the rest of their life kumbe ilikuwa kinyume na alivyofikiri kwani baada ya kukutana na number 1 fan ambaye alikuwa akipenda kusikiza ngoma zake na kufikia hatua ya kumtaka amfundishe kuimba akatoswa na mpenzi wake .
‘’Unajua mimi ni tofauti na wasanii wengine,najitahidi sana kukutana na fanz wangu kwa namna yoyote ambayo naweza kiasi nikipata tym kidogo huwa naitumia kucheck wit ma fanz na kubadirishana nao mawazo,if ur ma fan n u have any means of contact me just do it n i will be able to reach u,kama ni facebook,twitter,ama u have ma number just dial on me n i will have fun together wit u’’
‘’Ila ki ukweli number one fan amebadiri mwelekeo wa maisha yangu kwa kukosa kile ambacho kila siku nilikuwa natamani kukipata yaani true love from the one i use to love n still i have feelings of love to ma x ila sina jinsi tena and all its bse of my number one fan inaniuma sana’’
So wat is goin on wit ya number one fan?’’kaka huezi amini hakuna chochote kinachoendelea kati yangu na my number one fan dat y nikaamua kuandika hii ngoma katika kufikisha ujumbe wangu kwa Yule ambaye alikuwa mpenzi wangu na hata yeye( number 1 fan) nilimwambia na anajua kuwa yeye ndo cauz ya mimi kuachwa na nimpendae.’’
Kwa sasa ben po ni moja kati ya wakali ambao wanajuvunia kuwapo katika nyumba ya vipaji tht na kamwe hajutii uwepo wake kwenye nyumba hiyo yenye wakalikama vile barnabas classic,amin,ditto,beker,davy d,mwasiti,linnah,recho,Beatrice na wengine kibao ambao huzaliwa kila kukicha.