
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete 1-10-2010 amewasili kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba ambapo katika ziara yake atazungumza na wanachama wa Umoja wa WanawakeTanzania(UWT) ili kuwahamasisha kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu ifikapo 31 Oktoba 2010.Picha zote na Mwanakombo Jumaa. hapa anaonekana akivishwa skafu na chipukizi alipowasili katika uwanja wa ndege wa Bukoba mkoani Kagera (Picha na Mwanamkombo Jumaa wa Maelezo)
No comments:
Post a Comment