

Mwalimu akiwa amebebwa juu juu baada ya kupata uhuru

Mwalimu Julias K.Nyerere na Mzee Abeid A.Karume wakipita mitaa ya Dar es Salaam kusherehekea na wananchi siku ya kwanza ya Muungano

Mwalimu akichanganya udongo kwa kuashiria muungano wa Tanganyika na Zanzibar

enzi hizo: Baba wa Taifa,Mwalimu Julius Nyerere akiwa na aliekuwa Rais wa Msumbiji miaka hiyo,Hayati Samora Machel pamoja na wake zao.mama Maria Nyerere (kulia) na mama Graca Machel

Mwalimu Nyerere akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa

Mwalimu akiwa na Fidel Castro wa Cuba.

Mwalimu akifurahi jambo na Shujaa Nyirenda

siku mwili wa Baba wa Taifa ulipowasili nchini toka nchini Uingereza.
No comments:
Post a Comment