
Mjumbe wa kamati ya Utekelezaji Halmashauri ya baraza la umoja wa vijana wa CCM Ridhiwani Kikwete aliyevaa skafu) akikagua gwaride la viaja wa CCM, baada ya
kulakiwa eneo la eneo la Ngunichile akitokea kufanya kampeni za ndani Liwale kwenda
Nachingwea mkoani Lindi juzi, ambapo katika mkoa huo amefanya mikutano ya kuweka mikakati ya
ushindi wa chama hicho. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Kikundi cha Kwaya cha vijana wa CCM kikitumbuiza wakati wa kampeni za ndani za chama hicho uliohutubiwa na Mjumbe wa kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, mjini Liwale juzi

Mjumbe wa kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM), Ridhiwani Kikwete akiwahutubia wafuasi Wanachama na wafuasi wa chama hicho, wakati
wa mapokezi eneo la Ngunichile akitokea kufanya kampeni za ndani Liwale kwenda Nachingwea
mkoani Lindi jUZI, ambapo katika mkoa huo amefanya mikutano ya kuweka mikakati ya ushindi wa
chama hicho.
No comments:
Post a Comment