


Kinamama waliokuwa wakimsubiri kwa hamu JK katika uwanja wa Kambarage mjini shinyanga wakirukaruka kwa furaha mara helikopta ya JK ilipokuwa ikitua nje ya uwanja huo. |
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Kinamama waliokuwa wakimsubiri kwa hamu JK katika uwanja wa Kambarage mjini shinyanga wakirukaruka kwa furaha mara helikopta ya JK ilipokuwa ikitua nje ya uwanja huo. |
No comments:
Post a Comment