Wajumbe

Tom Chilala na wajumbe wengine mkutanoniJuma Pinto na Ibrahim Masudi 'Maestro' kabla ya matokeo kutangazwaMwenyekiti mpya wa TASWA na Kamati yake kuu
Chama cha waandishi wa habari za michezo nchini Tanzania, TASWA, kimefanya uchaguzi wa viongozi wapya baada ya uongozi wa zamani kumaliza muda wake wa miaka mitatu kama katiba inavyoelekeza. Katika uchaguzi huo viongozi wapya waliochaguliwa ni:
MWENYEKITI: JUMA PINTO
MAKAMU MWENYEKITI: MAULID KITENGE
KATIBU MKUU:: AMIR MHANDO
KATIBU MSAIDIZI: GEORGE JOHN
MTUNZA HAZINA: SULTAN SIKIRO
MSAIDIZI: MOHAMED MKANGARAKWA
WAJUMBE: ELIUS KAMBIRI, GRACE HOKA, ZENA CHANDE, ALFRED LUCAS, OSMAN KAPINGA, SALUM JABA
No comments:
Post a Comment