
Kama we ni mdau wa muziki wa hapa nyumbani tanzania basi ni wasaa wako wa kucheki na kill muzic award bse ndo kama zinafanyika hii leo pale diamond jubilee then tuone nani ataibuka kinara walau kwa kuzikomba japo tuzo mbili,huku akishuhudiwa na mkali wa dancehall toka pande za kingston jamaica jamaa anajulikana kama SEAN KINGSTON.
No comments:
Post a Comment