Aug 14, 2012

NU SHIT OF DA TOWN;SHINE VIDEO n AUDIO PRODUCTIONS n SHINE BOYS TANZANIA.


 D GOLD MEMBER WA WAJUKUU ENTERTAINMENT
 KIBONGEE PEKEE ANAE NENEPA KWA STRESS HA HA HA HA HA HA(BAGDADY)

 NDANI YA SHINE PRODUCTIONS TANZANIA
 DATS SHINE RECORDS TANZANIA

 BAGDAVIDAVITO

 HA HA HA HA HA HA HA BAGDADY WITH JIWE
 KILA MMOJA NA MISHE ZAKE ASEE
 DAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAH NDANI YA SHINE RECORDS

 RAIS WA MASAI TANZANIA SUDDY BAYAAAAAAAAAAAAAAAA

 NU DIRECTOR SHINE VIDEOZ
 JAZZ Q
 BIG BOSS JAZZ Q
 DIRECTOR JAZZ Q



 THE MAKIN VIDEO OF MUPE MURUKE JAMAA WANAJITAYARISHA HA HA HA HA SUDDY BAYA WITH YOUNG JIMMY


 WAJUKUU ENTERTAINMENT WITH SHINE BOYS










 DAVID LUCAS
 i was born free maso....na ubongo nlipewa na lusifa

 HATA KUFANYA VOCAL NIKO SAWA ASEE HA HA HA HA JAZZ Q

 BIG BOSS DAVID LUCAS




 MIXER HATA KWENYE MA AUDIO NIMO TENA SAAAAAAAAAAAAAAAANA
 makin video of mupe muruke ndani ya moja ya club za hatari ndani ya DAR
 MENEJA WA SHINE RECORDS(SUDDY BAYA AKA RAIS WA MASAI) NA MENEJA WA BAGDADY(DAVID LUCAS)
WAJUKUU WA SHINE HA HA HA HA HA HA HA D GOLD,BAGDAVI BAGIDIVITOOO,COLIOMBI,SUDDY BAYA WITH BIG BOSS DAVID LUCAS

MAGAZETI YA LEO TRH 14/08/12


.
.
.
.
.
.

.
.
.
.
.
.
,.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

TAIFA STARS YAONDOKA JANA USIKU KUELEKEA GABORONE - BOTSWANA


Timu ya taifa ya soka ya Tanzania - Taifa Stars usiku wa kuamkia leo imesafiri kuelekea jijini Gbarone Botswana kwa ajili ya kucheza mchezo wa kujipima nguvu na timu ya nchi hiyo.

Nahodha wa timu hiyo Juma Kaseja akiingia uwanja wa ndege tayari kwa safari ya kuelekea Botswana

Watoto wa Msimbazi hao, Haruna Moshi Boban na Ramadhan Chombo wakiwa na mabegi tayari kuiacha ardhi ya Tanzania na kwenda Botswana kutetea bendera ya nchi yao.

Mrisho Khalfan Ngassa nae akielekea ndani ya uwanja tayari kwenda kupanda pipa na kwenda Gabarone

Aggrey Morris wa Azam FC NDANI YA UZI WA TAIFA LAKE TAYARI KUKWEA PIPA
kwa hisani ya www.shaffihdauda.com

MWENYEKITI WA KAMATI YA USAJILI SIMBA HANS POPE ATOA YA MOYONI - ASEMA YANGA WALIANZA NA BAHANUZI, KAVUMBAGU, TWITE, NA SASA WANAMUWINDA PASCAL OCHIENG


Said Bhanuzi na Didier Kavumbagu wakitambulishwa na Msemaji wa Yanga Luis Sendo - wachezaji hawa wawili Simba inadai Yanga imefanyia uhuni kama ilivyokuwa Mbuyi Twite.

Usajili wa Mbuyu Twite aliyejiunga Yanga, huku Simba nayo ikiingia naye mkataba, umeendelea kuwa 'kivutio', ambapo sasa Wekundu hao wa Msimbazi wameibuka na madai mapya.
Mwenyekiti wa Kamati ya usajili klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope ameilaumu Yanga kwa kuuingiza mchezo wa soka kwenye machafuko.

Pope amesema kitendo cha wenzao kuwazunguka na kumshawishi Twite kurejesha fedha walizompa ili asajili Simba, kinaweza kuleta uhasama usio na ulazima."Tumepata taarifa kuwa baba mzazi wa Mbuyu (Twite) amemkataza mwanaye kuja kuichezea Yanga kwa hofu maisha yake."

"Mzee Twite anataka Simba na Yanga zikutane kufanya mazungumzo kwa lengo la kuweka mambo sawa kisha ndipo amruhusu kuja Tanzania," alisema Pope.

"Unadhani kwa kitendo walichofanya Yanga, mashabiki wa Simba watafurahi? Baba yake mzazi (Twite) amechukizwa na hali hiyo, anahofia usalama wa kijana wake," alisema Pope.
"Vita ya soka haina tofauti na ile ya siasa au dini. Kwa hiyo baba mzazi wa Mbuyu ameomba Yanga na Simba kumaliza suala hili mwanaye aweze kucheza soka kama ilivyo kazi yake."

Katika kusisitiza ukweli wa madai yao, Pope alisema tayari uongozi wa Yanga umeomba kukutana nao ili kuzunguza na kumaliza suala hilo.
"Ukweli ni kamba, hatuna tatizo na Yanga. Nafikiri siyo mara yao ya kwanza wala mwisho kutufanyia mchezo huu mchafu. Ni kawaida yao."

"Wameomba [Yanga] tukutane ili kumaliza utata wa suala hili, vinginevyo Twite hatakuja siyo kujiunga na Yanga au Simba, bali haji kabisa."
Aliongeza: "Tulianza mazungumzo na Bahanuzi (Said)wakatuzunguka na kumsainisha, ikawa hivyo tena kwa Kavumbagu (Didier) na sasa wametuma viongozi Kenya kutaka kumsainisha Pascal Ochien ambaye yupo na timu Arusha."

Pascla Ochieng - mchezaji mpya wa Simba ambaye Hans Pope Yanga wameshaanza kumuwinda.

"Nafikiri Yanga kama wanataka kulipa kisasi cha mabao matano tuliyowafunga, wacheze mpira na siyo kutuzunguka na kusajili wachezaji wetu."
"Hata sisi tunaweza mchezo huo mchafu---ni kweli tunaweza kuwafanyia, lakini hatuoni sababu ya kufanya hivyo," alisema zaidi Pope.


Source: Mwananchi.co.tz

FRANCIS CHEKA AZIDI KUNG'AA - AINGIA AKATIKA ORODHA YA MABONDIA DUNIANI


BINGWA wa ngumi za kulipwa, Francis ‘SMG’ Cheka ameingia katika orodha ya mabondia bora 15 duniani wanaotambuliwa na Chama cha Masumbwi cha IBF.

Cheka bingwa wa taji hilo Afrika ameingia kwenye orodha hiyo kufuatia viwango vya ubora vya dunia vya IBF vilivyotolewa hivi karibuni.

Kwa viwango hivyo, bingwa huyo wa Afrika wa uzani wa super middle ana nafasi ya kuwania Ubingwa wa Dunia wa IBF dhidi ya mabingwa kutoka nchi mbalimbali ulimwenguni.

Kwa mujibu wa Rais wa Chama cha Ndondi cha PST, Emmanuel Mlundwa, Cheka anaweza kuwania taji hilo dhidi ya Benjamin Simon na  Henry Weberwa wa Ujerumani.

"Mabondia wengine wanaoweza kucheza na Cheka kuwania ubingwa huo ni Maxim Vlasov  wa Russia, Marco Periban wa Mexico na Ezequiel Maderna wa Argentina," alitaja Mlundwa.

Wengine ni Paul Smith wa United Kingdom, Junior Talipeau na Serge Yannick  (Australia), Nikola Sjekloca na Alexander Johnson (United States),  Roman Shkarupa (United Kingdom), Luis Garcia  (Ireland), Rudy Markussen (Denmark) na Fulgencio Zuniga  wa Colombia. 


souce:mwananchi

Aug 13, 2012

RAIS AONANA NA RAIS MPYA WA GHANA, ATEMBELEA MASHAMBA YA MANANASI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Rais John Dramani Mahama wa Ghana nyumbani kwake jijini  Accra leo Agosti 11, 2012 baada ya  kumtembelea na  kumpa pole ya msiba wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Marehemu John Evans Atta Mills aliyezikwa jana.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo  na Rais John Dramani Mahama wa Ghana nyumbani kwake jijini  Accra leo Agosti 11, 2012  wakati alipomtembelea kiongozi huyo mpya wa Ghana na  kumpa pole ya msiba wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Marehemu John Evans Atta Mills
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitazama manasi yakitayarishwa kwa ajili ya kusafirishwa na kuuzwa nje ya nchi katika kiwanda cha  Bomarts Farms Ltd. katika kitongoji cha Dobro nje kidogo ya jiji la Accra leo Agosti 11, 2012

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitazama ukulima wa kisasa wa manasi yanayolimwa  kwa ajili ya kuuzwa nje ya nchi katika shmaba la   Bomarts Farms Ltd. katika kijiji cha Dobrokatika eneo la Nsawam  nje kidogo ya jiji la Accra leo Agosti 11, 2012. Kulia kwake ni Mtendaji Mkuu wa shamba hilo Bw. Anthony Botchway na mwenye suti ya buluu ni Waziri wa Chakula na Kilimo Mhe Kwesi Ahwol

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia upandaji wa miche ya  mananasi katika shamba la Koranco kijiji cha Obotweri nje kidogo ya jiji la Accra. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Koranco Farms Ltd. Bw Emmanuel B. Koranteng ambaye amekuwa akilima shamba la matunda kwa miaka 27. Mwalimu Nyerere aliwahi kumtembelea shambani hapo katikati ya miaka ya 1980 kujionea ukulima huo wa matunda.

PICHA NA IKULU

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA