Oct 18, 2010

Ziara ya Mama Salma Kikwete- Rukwa

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiongea 17-10-2010 na wanachama wa UWT jimbo la Nkasi Kusini na Nkasi Kaskazini Moani Rukwa katika mkutano wa ndani wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu Oktoba 31 mwaka huu . (Picha na Mwanakombo Jumaa Maelezo)
Wanachama wa UWT Majimbo ya Mpanda Mjini na Vijijini Mkoa Mpya wa Katavi wakimshangilia Mke wa Rais Mama Salma Kikwete 17-10-2010 katika mkutao wa ndani wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu Mwaka huu .
Align CenterKikundi cha utamaduni cha kinamama wa Mkoani Rukwa wakimuonyesha umahiri wa kucheza ngoma ya asili katika mkoa huo.(17-10-2010)
Wanacha wa UWT Mkoa wa Rukwa wakimsikliza Mke wa Rais Mama Salma Kikwete katika mkutano wa ndani wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu Oktoba 31, Mwaka huu.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA