Mwenyekiti wa waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za kusini mwa Afrika (SADC) ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Zambia Kabinga Pande (kulia) akizungumza na wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa siasa, waandishi wa habari na waangalizi wa uchaguzi kutoka SADC juu ya ujio wa ujumbe wa waangalizi hao na majukumu yao wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 31 mwezi huu leo jijini Dar es salaam. Pamoja na mambo mengine ametoa wito kwa watanzania kudumisha amani na kuonyesha ukomavu wa kisiasa uliopo nchini hasa kabla na baada ya uchaguzi. (Picha Aron Msigwa na Fullshagwe Crew)
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ME MYSELF & I
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)
No comments:
Post a Comment