Oct 19, 2010

Rais Jakaya Kikwete katika kampeni Mkuranga.

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiwahutubia wananchi wa jimbo la Mkuranga huko Kimanzichana leo mchana.
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mkuranga kwa tiketi ya CCM Adam Kighoma Malima wakati wa Mkutano wa kampeni uliofanyika huko Kimanzichana, wilayani Mkuranga leo mchana (picha na Freddy Maro
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM akiwa ambeba mtoto wa miaka miwili Asia Ndomondo muda mfupi baada ya kuwasili katika mji wa Kibiti na kuhutubia katika mkutano wa kampeni mjini hap leo
mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wananchi wa eneo la Kimanzichana jimbo la Mkuranga wakati wa mkutano wa Kampeni uliofanyika leo mchana.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA