Oct 19, 2010

DR. GHALIB BILAL KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI KILIMANJARO.

Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, DK. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Kata za Bomambuzi na Pasua wakati alipofanya mkutano wa kampeni katika Wilaya ya Moshi mjini Mkoa wa Kilimanjaro jana okt 17. Picha na Muhidin Sufiani
-Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimnadi mgombhea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini, Cyril Chami, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyiika leo Okt 18 kwenye uwanja wa Kijiji cha Chekereni Mkoa wa Kilimanjaro. Pichha na Muhidin Sufiani
Mmoja wa wanachama wa chama cha mapinduzi akishangilia huku wenzake wakimuangalia wakati wa mkutano wa Kampeni wa Dr. Ghalib Bilal.
Wanachama na mashabiki wa CCM wa Mtaa wa Sokoni Kata ya Bomambuzi na Pasua, wakimsikiliza mgombea Mwenza wa urais wa CCM. Dk. Mohamed Gharib Bilal, wakati alipofanya mkutano wa kampeni jana Okt 17 katika uwanja wa Sokoni Pasua Wilaya ya Moshi Mjini Mkoa wa Kilimanjaro na kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo, Justine Salakana. Picha na Muhidin Sufiani

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA