Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, DK. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Kata za Bomambuzi na Pasua wakati alipofanya mkutano wa kampeni katika Wilaya ya Moshi mjini Mkoa wa Kilimanjaro jana okt 17. Picha na Muhidin Sufiani
-Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimnadi mgombhea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini, Cyril Chami, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyiika leo Okt 18 kwenye uwanja wa Kijiji cha Chekereni Mkoa wa Kilimanjaro. Pichha na Muhidin Sufiani
Mmoja wa wanachama wa chama cha mapinduzi akishangilia huku wenzake wakimuangalia wakati wa mkutano wa Kampeni wa Dr. Ghalib Bilal.
Wanachama na mashabiki wa CCM wa Mtaa wa Sokoni Kata ya Bomambuzi na Pasua, wakimsikiliza mgombea Mwenza wa urais wa CCM. Dk. Mohamed Gharib Bilal, wakati alipofanya mkutano wa kampeni jana Okt 17 katika uwanja wa Sokoni Pasua Wilaya ya Moshi Mjini Mkoa wa Kilimanjaro na kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo, Justine Salakana. Picha na Muhidin Sufiani
No comments:
Post a Comment