Oct 18, 2010

MAISHA BILA UONI YANAWEZEKANA!

Katibu Mkuu wa Chama cha Wasioona Tanzania bwana.Emanuel Saimon akichapa risala ya chama chake katika maonesho ya maadhimisho ya siku ya fimbo nyeupe yaliyofanyika kwenye viwanja vya Shycom-Shimyanga.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga bi. Amina Masenza akiangalia fundi cherehani bw. Abdala toka wilaya ya Temeke akikata nguo.
Fundi simu ambaye ni mlemavu asiyeoona toka wilaya ya Temeke akitengeneza simu katika maadhimisho hayo.
Fundi simu akiingiza nyimbo katika simu kwa kutumia kompyuta yake .

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA