Katibu Mkuu wa Chama cha Wasioona Tanzania bwana.Emanuel Saimon akichapa risala ya chama chake katika maonesho ya maadhimisho ya siku ya fimbo nyeupe yaliyofanyika kwenye viwanja vya Shycom-Shimyanga.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga bi. Amina Masenza akiangalia fundi cherehani bw. Abdala toka wilaya ya Temeke akikata nguo.
No comments:
Post a Comment