Beki mahiri wa timu ya Yanga na timu ya Taifa Taifa Stars Nadir Haroub (Cannavaro) akihojiwa na vyombo mbalimbali vya habari kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere leo mara baada ya timu hiyo kuwasili ikitokea mkoani Mwanza ambako ilicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kati yake na watani wao wa jadi timu ya Simba zote za jijini Dar es salaam. Katika mchezo huo Mchezaji Jerrison Tegete ndiye aliyefunga goli katika dakika ya 71 kipindi cha pili ambapo kwa mujibu wa mtangazaji wa TBCEnock Bwigane aliyekuwa akitangaza mchezo huo Jerry Tegete akiwa na mpira alimuita golikipa wa Simba Juma K. Juma na kumwambia "Poooooooooooooooooooooo!!!!" wakati kaseja akishanga jina hilo ndipo tegete akafunga goli safi lililoipa ushindi timu hiyo ya Jangwani na matokeo kuwa Yanga 1-Simba 0.
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ME MYSELF & I
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)
No comments:
Post a Comment