Oct 14, 2010

kumbukumbu ya miaka 11 ya kufariki kwa Baba wa Taifa Mwalimu J.K Nyerere


Mwalimu akiwa amebebwa juu juu baada ya kupata uhuru
Mwalimu Julias K.Nyerere na Mzee Abeid A.Karume wakipita mitaa ya Dar es Salaam kusherehekea na wananchi siku ya kwanza ya Muungano
Mwalimu akichanganya udongo kwa kuashiria muungano wa Tanganyika na Zanzibar
enzi hizo: Baba wa Taifa,Mwalimu Julius Nyerere akiwa na aliekuwa Rais wa Msumbiji miaka hiyo,Hayati Samora Machel pamoja na wake zao.mama Maria Nyerere (kulia) na mama Graca Machel
Mwalimu Nyerere akiwa na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu,Mh. Benjamin Mkapa
Mwalimu akiwa na Fidel Castro wa Cuba.
Mwalimu akifurahi jambo na Shujaa Nyirenda
siku mwili wa Baba wa Taifa ulipowasili nchini toka nchini Uingereza.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA