Kutoka kulia ni Khalid Chuma (Chokoraa) wa Bendi ya African Stars, Josse Mara wa FM Academia na Kalala Hamza (Kalala Junior) kutoka katika kundi lao la (Mpacha Wa3) wakiwa katika picha ya pamoja leo kwenye mgahawa wa Hadees wakati walipozungumza na waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa albam yao ya (Jasho la Mtu) utakaofanyika Oktoba 15 kwenye ukumbi wa Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam. Uzinduzi hupo umeandaliwa na kampuni ya Alabama Inc na utasindikizwa na bendi ya African Stars ya jijini Dar es salaam pamoja naye mfalme wa taarab kutoka kundi la taarab la Jahazi Molden Taarab Mzee Yusuf ambaye pia ni mjumbe wa kamati ya utendaji ya klabu ya Yanga. U*zinduzi huo umedhaminiwa na Clouds FM, Clouds TV, Channel Ten, DTV, Magic FM, Mama Ife Intertainment, Gazeti la Risasi, Eventlites, Valley Springs Ltd, Lulu Quality Cosmetics, Amos Collection, Rutiginga Commision Agency na Zizou Fashion.
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ME MYSELF & I
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)
No comments:
Post a Comment