Oct 12, 2010

KATIBU MKUU SAYANSI NA TEKNOLOJIA AZINDUA HUDUMA YA MALIPO YA KABLA YA (TIGO PRE PAID BLACKBERRY)

Katibu Mkuu Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Dr. Patrick James Makungu amezindua huduma mpya ya Tigo Pre Paid Blackberry leo kwenye uzinduzi uliofanyika kwenye hotelia ya Kilimanjaro Kempinski jijini Dar es salaam.
Akisoma hotuba yake katibu mkuu huyo amesema"Ninayo furaha kubwa kuwa nanyi mchana huu wa leo ambapo Tigo mnazindua huduma yenu kabambe ya malipo ya kabla ya mtandao wa intanet ya backberry kupitia mtandao wa Tigo – Tigo Pre paid blackberry Kwa niaba ya serikali kupitia wizara mawasiliano sayansi na teknolojia kwanza niwapongeze kwa hatua hii nzuri mliofikia ya kuamua kuleta huduma hii ya blackberry malipo ya kabla ambayo kama mlivyosema mmeitikia ombi toka kwa wateja mnaowahudumia Pili ninawapongeza kwa kuweka vifurushi vya viwango vya chini zaidi na nafuu kuliko mtandao wowote nchini katika huduma hii ya backberry malipo ya kabla
Zuri zaidio ni kwamba nyie mmeweka kiwango cha chini kabisa cha kulipia shilingi elfu saba tu kwa siku saba na mteja akafurahia huduma ya intaneti! Hongereni kwa hilo Hayo yote ni mafanikio na ndio maana hata mlitunukiwa ubora wa huduma za mawasiliano nchini na wataalamu wanaofanya utafiti kwenye zaidi ya nchi 80 “Su

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA