Sep 22, 2010

Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete mkoani Kilimanjaro

Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete wa pili(kulia) akisalimia wakati alipowasili Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro na kufanya mkutano wa ndani kwa wanachama wa UWT jimboni kuhusu umuhimu wa kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 31, mwaka huu kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu. (kulia) Mgombea Ubunge Jimbo la Mwanga Prpf. Jumanne Magembe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa UWT Mkoa Kilimnjaro Regina Chonjo. Picha na Mwanakombo Jumaa.
Mama Salma Kikwete akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mwanga Mkoa Kilimanjaro Prof. jumanne Magembe
Mama Salma Kikwete akimnadi Mgombea ubunge (CCM) Jimbo la Same Magharibi David Mathayo
Wakina mama wa UWT mjini Moshi wakishangilia wakati mama Salma alipoongea nao katika mkutano wa ndani
Wakina Mama wa Wilaya ya Mwanga wakimsikiliza mama Salma Kikwete wakati alipowahutubua kwenye mkutano wa ndani akielezea umuhimu wa kupiga kura kwa mwanamke.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA