Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete wa pili(kulia) akisalimia wakati alipowasili Jimbo la Mwanga mkoani Kilimanjaro na kufanya mkutano wa ndani kwa wanachama wa UWT jimboni kuhusu umuhimu wa kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 31, mwaka huu kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu. (kulia) Mgombea Ubunge Jimbo la Mwanga Prpf. Jumanne Magembe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa UWT Mkoa Kilimnjaro Regina Chonjo. Picha na Mwanakombo Jumaa.
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ME MYSELF & I
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)
No comments:
Post a Comment