Sep 16, 2010

Mwenyekiti wa WAMA mama Salma Kikwete akiwa Mkoani Mwanza

Matukio ya picha mbalimbali za Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete katika mkoa wa Mwanza ambapo anawatembelea wanachama wa UWT na kuzungumza nao akiwahamasisha kuhusu umuhimu wa Kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ifikapo Oktoba 31,mwaka huu nchini kote. Picha zote na Mwanakombo Jumaa.
Picha hii inaonyesha Mama Salma Kikwete akisalimiwa na mwanachama wa UWT baada ya kufika Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza
Jamani mmemuona MGOLE, amapendeza........NDIVYO ALIVYOSEMA MWENYEKITI WA UWT MKOA MWANZA MARIA HEWA
Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete akimtambulisha mgombea Ubunge wa jimbo la Nyamagana (CCM) Lawrence Masha mjini Mwanza.
Mama Salma Kikwete akiongea na wakina mama wa UWT mkoani Mwanza.
Wanachama wa UWT wa Wilaya ya Nyamagana na Ilemela mkoani Mwanza wakimshangilia Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete wakati alipokuwa akiwahutubia mjini Mwanza.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA