Sep 17, 2010

mbio za pool table zaanza jini arusha



Mchezaji wa pool kutoka timu ya mkoa wa Ilala, Evansi Mushi akipiga mpira wakati wa ufunguzi wa mashindano ya taifa ya mchezo huo yaliyoanza kutimua vumbi huko jijini Arusha.mashindano haya yanaendelea kwa udhamini mkubwa wa bia ya Safari Lager.
baadhi ya wachezaji wa mchezo wa pool toka katika timu za mikoa mbali mbali zinazoshiriki katika mashindano hayo,wakiendelea kufuatilia mechi zilizokuwa zikiendelea wakati huo.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA