Sep 17, 2010

jide na machozi band ndani ya savannah lounge usiku huu



Lady Jay Dee a.k.a Binti Komando akiwajibika leo katika kiwanja chake cha kila alhamisi cha Savannah Lounge kilichopo ndani ya jengo la Benjamin Mkapa Tower.
timu nzima ya Machozi Band ikiongozwa na mwanadada Lady Jay Dee ikitoa burudani la kufa mtu usiku huu katika kiota cha Savannah lounge ndani ya Benjamin Mkapa Tower.
Sam,Mau na Joniko wakienda sambamba katika kuimba usiku huu.
mie na mdau Husna ndani ya Savannah Lounge usiku huu.
Detah na Don wakiwakilisha ndani ya Savannah Lounge usiku huu.
Detah (kulia) akigawa zawadi kwa mdau aliekuwa anapata kilaji cha Savannah usiku huu.
Detah (kulia) akiendelea na zoezi la kutoa zawadi kwa wadau waliokuwa wakijipatia kilaji cha Savanna kilichokuwa kikinyweka kwa kasi ya ajabu usiku huu.

Wadau wa Savannah Lounge wakiwa katika libeneke lao usiku huu.
wadau wakiserebuka na mapini ya Machozi Band yaliyokuwa yakiangushwa usiku huu ndani ya Savannah Lounge

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA