Sep 16, 2010

Kikwete anguruma Moshi



Mgombea urais kwa tiketi ya CCM,Dr. Jakaya Kikwete akiwahutubia wanachama na wapenzi wa chama hicho huko Himo,Moshi jana.
Wananchi wa Kilema wakimlaki Mgombe urais wa CCM,Dr. Jakaya Kikwete alipokuwa anawasili kijijini hapo.

Dr. Kikwete akimwaga sera huku maelfu ya wanaCCM wakimsikiliza.

Maelefu ya wakaazi wa Moshi waliojitokeza kumsikiliza Mgombea urais wa CCM,Dr. Jakaya Kikwete uwanja wa Mashujaa

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi wakati alipokuwa akiingia katika uwanja wa Mashujaa mjini Moshi na kuhutubia katika mkutano mkubwa wa Kampeni (Picha Freddy Maro na Muhidin Issa Michuzi).
Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM Dr. Jakaya Kikwete na Mgombea ubunge wa jimbo la Rombo Mh. Basil Mramba wakionesha alama ya dola ambayo CCM inatumia
Wananchi kibao wakiwa uwanja wa Mashujaa kumsikiliza Jakaya Kikwete mjini Moshi
akimnadi mgombea ubunge Vunjo Bw. Meela aliposimama Marangu Mtoni
Jakaya Kikwete akiwasili Kiboriloni akitokea Tarakea
Jakaya Kikwete akisalimiana na mgombea ubunge wa jimbo la Rombo Basil Mramba.
Jakaya Kikwete akisalimia maelfu ya wakazi wa Mwika
Kadamnasi ikimsikiliza JK Himo
Kinamama wa Tarakea wakimshangilia

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA