WAREMBO VODACOM MISS TANZANIA WATOA MSAADA WA VYANDARUA MOSHI!!
Baadhi ya warembo wanaoshiriki mashindano ya Vodacom Miss Tanzania 2010 wakimpatia chandarua ya kujizuia na mbu Miriam Joseph ambaye amelazwa Marangu ikiwa ni kutekeleza kwa vitendo kauli mbiu ya Malaria Haikubaliki. kampeni iliyoanzishwa na rais Jakaya Mrisho Kikwete Baadhi ya warembo wanaoshiriki shindano la Vodacom Miss Tanzania 2010 wakimpatia chandarua cha kujizuia na mbu Herieth masawe ambaye amelazwa hospitani hapo ikiwa ni kutekeleza kauli mbiu ya Malaria Haikubaliki.
Katibu wa hospital ya Marangu, Godrick Njau akikapokea vyandarua toka kwa Mkurugenzi wa Vodacom kanda ya kaskazini Nguvu Kamando mara baada ya kutembelea hospitalini hapo wakiwa wameambatana na warembo wanaoshiriki mashindano ya Vodacom Miss Tanzania.
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)
No comments:
Post a Comment