Aug 18, 2010

Rais Kikwete azindua mnara wa Mashujaa wa Majimaji, Azindua mtambo wa kuzalisha umeme kutumia Gesi Asilia huko Somanga-Kilwa!!

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibonyeza kitufe kuzindua mradi wa Umeme unaotumia gesi ya aslia huko Somanga Fungu jana jioni.Huko waziri wa Nishati na madini William Ngeleja(watatu kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Wiliam Mhando(wane kushoto) wakiangalia.Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Said Meck Sadiq.(picha na Freddy Maro)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuashiria kuzindua mradi wa umeme wa gesi ya asilia huko kijiji cha Somanga Fungu, mkoani Lindi jana jioni.Kushoto ni Waziri wa Nishati na madini William Ngeleja na kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa TANESCO William Mhando.
Amiri Jeshi mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka silaha za kijadi katika mnara wa Kumbukumbu ya Mashujaa wa vita vya Majimaji katika kijiji cha Nandete, kata ya Kipatimu wilayani Kilwa jana mchana.(kwa msaada wa blog jirani(full shangwe))

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA