Aug 18, 2010

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaanza Kupitia Ripoti Ya Sheria Za Mila!!

Katibu Tawala wa Wilaya ya Ulanga Bw. Alfred Shayo aliyesimama akizungumza kabla ya kuanza kiako cha kupitiwa ripoti ya Rasimu ya Sheria za Mila zinazofuata mkondo wa ukoo wa mama, katikati ni Ofisa Sheria wa Tume Shadrack Makongoro.

(Picha zote na Ofisa Habari wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Munir Shemweta)

Ofisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Shadrack Makongoro (kulia )akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Bw. Francis Miti baadhia ya vifaa kwa ajili ya kuitangaza Tume katika Wilaya yake, wa kwanza kushoto ni Katibu Twala wa Wilaya ya Ulanga Bw. Alfred Shayo.

Ofisa Sheria wa Tume Shadrack Makongoro akisikiliza maoni ya washiriki wa kikao hicho.
Baadhi ya Washiriki wa kikao cha kujadili rasimu ya Sheria za Mila zinazofuata mkondo wa ukoo wa mama katika wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA