Katibu Tawala wa Wilaya ya Ulanga Bw. Alfred Shayo aliyesimama akizungumza kabla ya kuanza kiako cha kupitiwa ripoti ya Rasimu ya Sheria za Mila zinazofuata mkondo wa ukoo wa mama, katikati ni Ofisa Sheria wa Tume Shadrack Makongoro.
(Picha zote na Ofisa Habari wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Munir Shemweta)
Ofisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Shadrack Makongoro (kulia )akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Bw. Francis Miti baadhia ya vifaa kwa ajili ya kuitangaza Tume katika Wilaya yake, wa kwanza kushoto ni Katibu Twala wa Wilaya ya Ulanga Bw. Alfred Shayo.
No comments:
Post a Comment