Aug 22, 2010

Rais Kikwete Atua Mwanza na Kumnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Misungwi


Rais Jakaya Kikwete akimnadi Charles Kitwanga a.k.a Mawe Matatu, mgombea ubunge wa CCM wa jimbo la Misungwi Mwanza leo, akiwa ni mbunge wa kwanza kunadiwa na mwenyekiti huyo wa CCM ambaye kaanza rasmi ziara ya mikoani leo

Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la chipukizi mara baada ya kutua jijini Mwanza leo kwa kampeni mkoa huo wa kanda ya ziwa
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Nyamagana Mh. Lawrence Masha ambaye kapita bila kupingwa katika jimbo lake. Anayemfuata ni Mh. William Ngeleja mbunge wa Sengerema ambaye naye kapita bila kupingwa
Wagombea ubunge wa CCM kanda ya ziwa wakimsubiri Rais Jakaya Kikwete alipotua jijini Mwanza leo.
Viongozi mbali mbali walijitokeza kumpokea Rais Jakaya Kikwete leo jijini Mwanza
Viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali wakisubiri kumlaki Rais Jakaya Kikwete jijini Mwanza leo kwa kampeni mkoa huo wa kanda ya ziwa.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA