Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la chipukizi mara baada ya kutua jijini Mwanza leo kwa kampeni mkoa huo wa kanda ya ziwa
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Nyamagana Mh. Lawrence Masha ambaye kapita bila kupingwa katika jimbo lake. Anayemfuata ni Mh. William Ngeleja mbunge wa Sengerema ambaye naye kapita bila kupingwa
Wagombea ubunge wa CCM kanda ya ziwa wakimsubiri Rais Jakaya Kikwete alipotua jijini Mwanza leo.
Viongozi mbali mbali walijitokeza kumpokea Rais Jakaya Kikwete leo jijini Mwanza
Viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali wakisubiri kumlaki Rais Jakaya Kikwete jijini Mwanza leo kwa kampeni mkoa huo wa kanda ya ziwa.
No comments:
Post a Comment