Aug 21, 2010

'ARI ZAIDI,KASI ZAIDI NA NGUVU ZAIDI-PAMOJA TUTASHINDA'KAULI MBIU ILIYOZINDULIWA RASMI HAPO JANA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wanachama wa CCM na wapenzi wa Chama hicho waliofika leo katika Viwanja vya Jangwani Jijini Dar wakati wa uzinduzi wa Kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu 2010.
Mgombea Mwenza wa Rais Jakaya Kikwete,Dr. Mohamed Gharib Bilal akiwahutubia wanaCCM wa Dar es Salaam waliofika katika Viwanja vya Jangwani leo.
Makamu Mwenyekiti CCM (Visiwani) na Rais wa Zanzibar anaemaliza muda wake,Rais Aman Abeid Karume nae aliongea machache na wanaCCM wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani waliojitokeza leo katika viwanja vya Jangwani,jijini Dar wakati Chama Cha Mapinduzi kilipozindua rasmi kampeni za uchaguzi mkuu 2010.
Makamu Mwenyekiti CCM (Bara),Mh. Pius Msekwa akiteja jambo na Katibu Mkuu wa CCM,Mh. Yussuf Makamba wakati wa mkutano wa ufunnguzi wa kampeni za uchaguzi mkuu zililofanyika leo katika viwanja vya Jangwani jijini Dar.
Rais Mstaafu,Alhaj Ally Hassan Mwinyi akiteja jambo na Rais wa Zanzibar,Mh. Aman Karume na huku wakisikilizwa na wake zao na wadau wengine.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti CCM (Bara),Mh. Pius Msekwa.
Rais Kikwete akiwapungia wanaCCM wakati akiondoka.
Jukwaa Kuu.
Orijino Komedi wakifanya vitu vyao.
T.O.T wakifan ya vitu vyao huku wakiongozwa na Mh. John Komba.
Wazee wa kazi wakila mzigo.
Marlaw akiwabembeleza wanaCCM leo.
Marlaw na timu yake.Vijana wa Kiumeni wakikamua.
umati mkubwa wa wanaCCM waliofika katika viwanja vya Jangwani leo.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA