Aug 17, 2010

MBA NA YANGA ZAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI YA MCHEZO WA NGAO YA JAMII

mkuu wa udhamini vodacom george rwehumbiza na katibu wa yanga mwalusako wakionyesha jezi ya yanga
nyange kaburu na mkuu wa udhamini vodacom george rwehumbiza wakionyesha jezi ya simba
Raurence Mwalusako katibu mkuu yanga akipokea vifaa vya michezo

Wadhamini wa ligi kuu Tanzania bara kampuni ya simu za mikononi ya VODACOM itatumia kiasi shilingi milioni 35 kwaajili ya mchezo wa ngao ya hisani baina ya SIMBA NA yanga utakaochezea kesho kutwa jumatano katika uwanja wa taifa.
Mkuu wa udhamini wa vodacom GEORGE RWEHUMBIZA amesema wamefanya hivyo kwaajili ya kutambua umuhimu wa mchezo huo na kukabidhi jezi zitakazotumiwa siku hiyo .
Wakipokea vifaa hivyo katibu mkuu wa YANGA Raurence Mwalusako na makamu mwenyekiti wa SIMBA GEOFREY NYANGE wakisema mchezo huo utaonyesha ishara njema kwao kwenye msimu huu

Mchezo huo wa ngao ya HISANI utachezwa majira ya saa kumi jioni tofauti na hapo awali ambapo kulikuwa na taarifa kuwa mchezo huo ungechezwa usiku.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA