Aug 20, 2010

BAADHI YA WAREMBO WANAO WANIA TAJI LA MISS TANZANIA MWAKA HUU

Wilhemina Etami (Kanda ya Kati)
Alice Lushiku (Kanda ya Kinondoni)
Bahati Chando (Ilala)
Flora Martin (Elimu ya Juu)
Fatma Ibrahim (Kanda ya Ziwa)
Salma Mwakalukwa(Ilala)
Buduri Ibrahim(Kanda ya Ziwa)
Amisuu Malick (Kinondoni)
Britnery Urassa (Temeke) Irene Hezron (Kinondoni)
Genevieve Emmanuel (Teneke) Vodacom Miss Tanzania anayemaliza muda Miriam Gerald akiwa katika kubarizi hkambini hapo.
Vodacom Miss Tanzania katika picha ya pamoja. Moja ya sehemu ya vivutio vilivyopo katika hoteli ya Giraffe View Dar es Salam.
Baadhi ya warembo.
Mlezi wa Miss Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji nchini (TIC) Emmanuel Ole Naiko,alipowatembelea jana na kambini kwao hoteli ya Giraffe View, Dar es Salaam.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA