Rais Mwai Kibaki akiwasalimia wananchi wa Kenya waliojitokeza katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi kuhudhuria sherehe ya mashujaa. Kwa mara ya Kwanza wakenya wamesherehekea siku ya mashujaa waliopigania uhuru wa nchi hiyo. Miaka ya nyuma walikuwa wanasherehekea siku hiyo kumkumbuka rais wa kwanza wa Nchi hiyo hayati Jommo Kenyatta. (Picha na Anna Nkinda Nairobi)
Askari wa Jeshi la Kenya wakitoa salamu ya heshima kwa Rais Mwai Kibaki (hayupo pichani) wakati wa sherehe za mashujaa zilizofanyika leo katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi . Kwa mara ya Kwanza wakenya wamesherehekea siku ya mashujaa waliopigania uhuru wa nchi hiyo. Miaka ya nyuma walikuwa wanasherehekea siku hiyo kumkumbuka rais wa kwanza wa Nchi hiyo hayati Jommo Kenyatta.
Askari Polisi kikosi cha mbwa wakitoa salamu ya heshima kwa Rais Mwai Kibaki (hayupo pichani) wakati wa sherehe za mashujaa zilizofanyika leo katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi . Kwa mara ya Kwanza wakenya wamesherehekea siku ya mashujaa waliopigania uhuru wa nchi hiyo. Miaka ya nyuma walikuwa wanasherehekea siku hiyo kumkumbuka rais wa kwanza wa Nchi hiyo hayati Jommo Kenyatta.
Wapiganaji wa vita vya Maumau wakipita kwa heshima mbele ya Rais Mwai Kibaki (hayupo pichani) wakati wa sherehe za mashujaa zilizofanyika leo katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi . Kwa mara ya Kwanza wakenya wamesherehekea siku ya mashujaa waliopigania uhuru wa nchi hiyo. Miaka ya nyuma walikuwa wanasherehekea siku hiyo kumkumbuka rais wa kwanza wa Nchi hiyo hayati Jommo Kenyatta.
Wapiganaji wa vita vya Maumau wakipita kwa heshima mbele ya Rais Mwai Kibaki (hayupo pichani) wakati wa sherehe za mashujaa zilizofanyika leo katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi . Kwa mara ya Kwanza wakenya wamesherehekea siku ya mashujaa waliopigania uhuru wa nchi hiyo. Miaka ya nyuma walikuwa wanasherehekea siku hiyo kumkumbuka rais wa kwanza wa Nchi hiyo hayati Jommo Kenyatta.
Wanariadha wa Kenya ambao pia ni mashujaa walioshiriki michezo ya Jumuia ya Madola iliyomalizika hivi karibuni Nchini India na kuipatia nchi yao medali 32 ambazo 12 zilikuwa za dhahabu, 10 za Shaba na 10 za fedha wakipita kwa heshima mbele ya Rais Mwai Kibaki (hayupo pichani) wakati wa sherehe za mashujaa zilizofanyika leo katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi . Kwa mara ya Kwanza wakenya wamesherehekea siku ya mashujaa waliopigania uhuru wa nchi hiyo. Miaka ya nyuma walikuwa wanasherehekea siku hiyo kumkumbuka rais wa kwanza wa Nchi hiyo hayati Jommo Kenyatta.
Wananchi wa Kenya wakiwa wamejitokeza kwa wingi kuhudhuria siku ya mashujaa iliyofanyika leo katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi. Kwa mara ya Kwanza wakenya wamesherehekea siku ya mashujaa waliopigania uhuru wa nchi yao. Miaka ya nyuma walikuwa wanasherehekea siku hiyo kumkumbuka rais wa kwanza wa Nchi hiyo hayati Jommo Kenyatta.
(kwa msaada wa blog jirani)
(kwa msaada wa blog jirani)
No comments:
Post a Comment