Oct 21, 2010

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Ziarani Zanzibar

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na wanachama wa UWT Mkoa wa Mjini Magharibi (20-10-2010)wakai alipowasili na kuzungumza na wanachama wa UWT kwenye mkutano wa ndani wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu Okt.31 mwaka huu. Picha na Mwanakombo Jumaa.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimnadi Mbunge wa jimbo la Makunduchi Samia Suluhu Hassan Mkoa wa Kusini Unguja (20-10-2010) wakati alipozungumza katika mikutano ya ndani ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu Oktoba 31 mwaka huu. Picha na Mwanakombo Jumaa.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimnadi Mgombea Urais Dk.Jakaya Kikwete, Mgombea Urais wa Zanzaibar Dk. Ali Mohamed Sheni, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani katika Mkoa wa Mjini Magaharibi (20-1-2010 ) na kuwaombea kura katika Uchaguzi Mkuu ujao Okt.31, mwaka huu. (Picha na Mwanakombo Jumaa)
Wanawake wa Mkoa wa Mjini Magharibi. Unguja wakimshangiria Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati wa mkutano wa ndani wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu utakaofanyia Okt.31 mwaka huu. Picha na Mwanakombo Jumaa.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA