Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na wanachama wa UWT Mkoa wa Mjini Magharibi (20-10-2010)wakai alipowasili na kuzungumza na wanachama wa UWT kwenye mkutano wa ndani wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu Okt.31 mwaka huu. Picha na Mwanakombo Jumaa.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimnadi Mbunge wa jimbo la Makunduchi Samia Suluhu Hassan Mkoa wa Kusini Unguja (20-10-2010) wakati alipozungumza katika mikutano ya ndani ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu Oktoba 31 mwaka huu. Picha na Mwanakombo Jumaa.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimnadi Mgombea Urais Dk.Jakaya Kikwete, Mgombea Urais wa Zanzaibar Dk. Ali Mohamed Sheni, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani katika Mkoa wa Mjini Magaharibi (20-1-2010 ) na kuwaombea kura katika Uchaguzi Mkuu ujao Okt.31, mwaka huu. (Picha na Mwanakombo Jumaa)
No comments:
Post a Comment