Oct 11, 2010

VODACOM TANZANIA YAKABIDHI MADARASA SHULE YA SEKONDARI ILULA.

Mkurugenzi wa mfuko wa kusaidia jamii wa Vodacom(Vodacom Foundation)Mwamvita Makamba akikata utepe ikiwa ni inshara ya kukabidhi madarasa mawili yenye thamani ya shilingi Miliopni 30 katika shule ya Sekondari ya Ilula wilaya ya kilolo Mkoani Iringa,na wapili kutoka kushoto ni Afisa Elimu wa Sekondari wilaya ya kilolo Theresa Zenda na watatu ni Mwalim Mkuu wa shule hiyo Damas Mgimwa,Mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa mfuko wa kusaidia jamii wa Vodacom(Vodacom Foundation)Mwamvita Makamba (kushoto)akiteta jambo na Meneja wa mfuko huo Yessaya Mwakifulefule wakati walipokuwa wakikabidhi madarasa mawili yenye thamani ya shilingi Miliopni 30 katika shule ya Sekondari ya Ilula wilaya ya kilolo Mkoani Iringa,Mwishoni mwa wiki.
Mkurugenzi wa mfuko wa kusaidia jamii wa Vodacom(Vodacom Foundation)Mwamvita Makamba(kushoto)akibadilishana mawazo na baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ilula wilayani kilolo mkoa wa Iringa mara baada ya kukabidhi madarasa mawili yenye thamani ya shilingi Miliopni 30 katika shule hiyo,Mwishoni mwa wiki.
.Haya ndiyo madarasa yaliyojengwa na Vodacom Foundation

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA