
Mgombea Urai kwa tiketi ya CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wanachama wa CCM kata ya Kiwalani jimbo la ukonga ambapo alifanaya mkutano wa kampeni leo asubuhi. (Picha Freddy Maro na Muhidin Issa Michuzi)

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapindizi CCM akiendelea kusalimiana na wananchi wal;iojitokeza kwenye mikutano yake ya kampeni jijini Dar es salaam leo.

Wananchi wa jimbo la Ukonga wakiwa tayari kwa kumsikiliza mgombea wa urais kupitia CCM Dr. Jakaya Kikwete.

Wananchi waliojitokeza kwenye Mkutano wa kapeni huko Segerea leo.

Wananchi wa eneo la Segerea waliohudhuria mkutano wa kampeni wa CCM
auliohutubiwa na mgombea urais wa CCM Dr.Jakaya mrisho Kikwete leo mchana
No comments:
Post a Comment