Mgombea Urai kwa tiketi ya CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wanachama wa CCM kata ya Kiwalani jimbo la ukonga ambapo alifanaya mkutano wa kampeni leo asubuhi. (Picha Freddy Maro na Muhidin Issa Michuzi)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapindizi CCM akiendelea kusalimiana na wananchi wal;iojitokeza kwenye mikutano yake ya kampeni jijini Dar es salaam leo.
No comments:
Post a Comment