Oct 27, 2010

Rais Kikwete afanya mikutano ya kampeni ukonga na Segerea.

Mgombea Urai kwa tiketi ya CCM Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wanachama wa CCM kata ya Kiwalani jimbo la ukonga ambapo alifanaya mkutano wa kampeni leo asubuhi. (Picha Freddy Maro na Muhidin Issa Michuzi)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapindizi CCM akiendelea kusalimiana na wananchi wal;iojitokeza kwenye mikutano yake ya kampeni jijini Dar es salaam leo.
Wananchi wa jimbo la Ukonga wakiwa tayari kwa kumsikiliza mgombea wa urais kupitia CCM Dr. Jakaya Kikwete.
Wananchi waliojitokeza kwenye Mkutano wa kapeni huko Segerea leo.
Wananchi wa eneo la Segerea waliohudhuria mkutano wa kampeni wa CCM
auliohutubiwa na mgombea urais wa CCM Dr.Jakaya mrisho Kikwete leo mchana

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA