Oct 15, 2010

Rais Jakaya Kikwete ahitimisha mbio za mwenge Kigoma.

kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka huu 2010 Dr.Nassoro Ally Matuzya akimkabidhi mwenge wa Uhuru Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa sherehe za kilele cha mbio hizo kilichofanyika katika uwanja wa michezo wa Lake Tanganyika mjini Kigoma leo mchana.
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka huu 2010 Dr.Nassoro Ally Matuzya akikabidhi risala za utii kwa Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa cherehe za kilele cha mbio za mwenge zilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Lake Tanganyika mjini Kigoma leo mchana.
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na timu ya viongozi wa mbio za
mwenge wa Uhuru mwaka huu wakati wa sherehe za kilele cha mbio hizo
zilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Lake Tanganyika mjini Kigoma leo(Picha na Freddy Maro)

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA