Oct 25, 2010

Oiko Credit Tanzania yakabidhi bilioni 2.6 kwa Saccos mbalimbali jijini dar


Meneja wa Oiko Credit Tanzania Deus Manyenye (Kushoto) akifafanua jambo wakati wa hafla ya kukabidhi jumla ya bilioni 2.6 kwa Saccos za Mtoni KKKT, Bunju, Vision, Yosefo na Mgandini walizotoa kama mkopo kwa taasisi hizo ili zikatumike kusaidia kupunguza umasikini kwa jamii ya watu wa kipato cha chini. Katikati ni Mwenyekiti wa Saccos ya Yosefo Ernest Ndimbo na kulia ni Meneja wa Saccos ya Bunju Victoria Masika.
Meneja wa Oiko Credit Tanzania Deus Manyenye (Kulia) akimkabidhi Mwenyekiti msaidizi wa Saccos ya Vision Tuly Kyoma mfano wa hundi ya milioni 500/- walizotoa kama mkopo kwa taasisi hiyo ili zikatumike kusaidia kupunguza umasikini kwa jamii ya watu wa chini. Katikati ni Mjumbe wa bodi Ntully Huggins, katika hafla hiyo iliyofanyika leo Oiko Credit ilitoa mkopo wa bilioni 2.6/- kwa taasisi tano ziliwemo Mgandini, Bunju, Mtoni KKKT na Yosefo.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA