Meneja wa Oiko Credit Tanzania Deus Manyenye (Kushoto) akifafanua jambo wakati wa hafla ya kukabidhi jumla ya bilioni 2.6 kwa Saccos za Mtoni KKKT, Bunju, Vision, Yosefo na Mgandini walizotoa kama mkopo kwa taasisi hizo ili zikatumike kusaidia kupunguza umasikini kwa jamii ya watu wa kipato cha chini. Katikati ni Mwenyekiti wa Saccos ya Yosefo Ernest Ndimbo na kulia ni Meneja wa Saccos ya Bunju Victoria Masika.
Meneja wa Oiko Credit Tanzania Deus Manyenye (Kulia) akimkabidhi Mwenyekiti msaidizi wa Saccos ya Vision Tuly Kyoma mfano wa hundi ya milioni 500/- walizotoa kama mkopo kwa taasisi hiyo ili zikatumike kusaidia kupunguza umasikini kwa jamii ya watu wa chini. Katikati ni Mjumbe wa bodi Ntully Huggins, katika hafla hiyo iliyofanyika leo Oiko Credit ilitoa mkopo wa bilioni 2.6/- kwa taasisi tano ziliwemo Mgandini, Bunju, Mtoni KKKT na Yosefo.
No comments:
Post a Comment