Mwanamuziki wa miondoko ya kizazi kipya MRISHO MPOTO amewataka wadau mbalimbali kuwasaidia watoto yatima kielimu na kiuchumi hatua itakayosaidia watoto hao kufikia malengo yao kimaisha
Mrisho Mpoto amesema hayo wakati akisherekea siku yake ya kuzaliwa na watoto wa kituo cha CHAKUWAMA kilichopo SINZA jijini DSM ambapo pia amekiri mchango wa watoto wadogo katika mafanikio yake kimuziki.
kwa msaada wa blog jirani
No comments:
Post a Comment