Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Sep 20, 2010
TIMU YA KINONDONI YANYAKUWA UBINGWA WA POOL BAADA YA KUICHAPA TEMEKE!!
Timu ya mkoa wa kinondoni baada ya kutoa ubingwa wakiwa wamenyakua kombe kwa furaha kabisa na ubingwa huo umetokana na kuifunga temeke magoli 15 kwa 10 . Timu ya Kinondoni imenyakua ubingwa wa taifa wa mashindano ya pool baada ya kuifunga Temeke huku mchezaji wa kike Viorety Mrema akitokea Kinondoni akinyakua ubingwa huo na kujishindia tiketi ya kwenda nchini ufaransa mwaka huu kushiriki mashindano ya dunia. Katika mashindano hayo pia mchezaji BONIFACE JOHN kutoka Arusha amenyakua ubingwa kwa upande wa wanaume na kufanikiwa kuitwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Pool itakayokwenda nchini Ufaransa Picha kwa hisani ya www.Janejohn5.blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ME MYSELF & I
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)
No comments:
Post a Comment