Mlemavu wa viungo,Omar Chutira akitoa shukrani katika mkutano wa kampeni za kuhamasisha ushindi wa kishindo kwa CCM. katika Kata ya Namasakata, Tunduru,baada ya kupatiwa msaada wa sh. 160,000 za kununulia baiskeli ya magurudumu matatu zilizotolewa na Umoja wa Vijana wa CCM kwa maagizo ya Katibu Mkuu wa Chama hicho, Yusufu Makamba kufuatia ahadi aliyoitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Tunduru.
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ME MYSELF & I
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)
No comments:
Post a Comment