Sep 21, 2010

Ridhiwani uso kwa uso na Chifu wa Wayao Tunduru!

Mlemavu wa viungo,Omar Chutira akitoa shukrani katika mkutano wa kampeni za kuhamasisha ushindi wa kishindo kwa CCM. katika Kata ya Namasakata, Tunduru,baada ya kupatiwa msaada wa sh. 160,000 za kununulia baiskeli ya magurudumu matatu zilizotolewa na Umoja wa Vijana wa CCM kwa maagizo ya Katibu Mkuu wa Chama hicho, Yusufu Makamba kufuatia ahadi aliyoitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Tunduru.
Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa, Amoni Anastas akihutubia wakati wa mkutano wa kampeni za kuhamasisha ushindi kwa CCM juzi katika Kata ya Namasakata, Tunduru, mkoani Ruvuma.Amon ambaye ni mlemavu wa kuona, ana taaluma ya uanasheria.
Chifu Sultani Kalolo wa Kabila la Wayao, akijadiliana jambo na Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ridhiwani Kikwete katika makazi ya chifu huyo katika Kijiji cha Jakika, Tunduru, mkoani Ruvuma juzi. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA