Sep 20, 2010

Ridhiwani katika kampeni Masasi na Nanyumbu!!

Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Umoja wa Vijana Taifa, Ridhiwani Kikwete, akihutubia wakati wa mapokezi alipokuwa akiingia wilayani Masasi, Mtwara juzi..(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Umoja wa Vijana Taifa, Ridhiwani Kikwete, akiwaongoza baadhi ya makada wa CCM, kusalimiana na wanachama wa chama hicho, walipowasili katika ofisi za CCM, wilayani Nanyumbu,juzi kuanza vikao vya ndani vya kuweka mikakati ya ushindi kwa CCM katika Uchauzi Mkuu Oktoba 31, mwaka huu.Kutoka kushoto ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya tawi la CCM, London, Uingereza, Haruna Mbeyu na Omar Matulnga ambaye ni miononi mwa wadau wa chama hicho.
Sehemu ya umati wa watu ulojitokeza kumlaki,Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Umoja wa Vijana Taifa, Ridhiwani Kikwete, alipowasili Masasi, Mtwara juzi , kuanza ziara kuhamasisha vijana kupanga mikakati ya ushindi wa kishindo kwa CCM..(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Umoja wa Vijana Taifa, Ridhiwani Kikwete (katikati) akiwa na baadhi ya wanachama wa CCM, alipotembelea juzi nyumba aliyoishi yeye na babake, Rais Jakaya Kikwete mwaka 1988 mjini Masasi, ambaye wakati huo alikuwa Katibu wa CCM wa Wilaya hiyo.
Waendesha pikipiki, wakiwa wamejipanga wakati wa kumlaki,Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Baraza la Umoja wa Vijanawa CCM Taifa, Ridhiwani Kikwete, wakijiandaa kuonoza msafara wa kiongozi huyo wa vijana,alipoanza ziara ya kampeni jana wilaya ya Masasi, Mtwara juzi..(PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA