Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilala Dkt Asha Mahita (kulia) akitoa ufafunizi jana jijini Dar es salaam kwa Naibu Waziri wa Idara inayoshughulikia Misaada ya Kimataifa ya Uingereza (DFID) Stephen Brian(kushoto) jinsi Manispaa hiyo inavyosambaza vyandarua kwa wakinamama wajawazito chini ya mpago wa Hati Punguzo kwa ajili ya kukabiliana na malaria.
Naibu Waziri wa Idara inayoshughulikia Misaada ya Kimataifa ya Uingereza (DFID) Stephen Brian (kulia) akimwangalia mtoto mchanga na mama yake jana jijini Dar es salaam wakiwa katika Kituo cha Afya cha Manazi Mmoja wakisubiri kuandikishwa kwa ajili ya kupata vyandarua vinavyotolewa chini ya utaratibu wa Hati Punguzo kwa mama wajawazito na watoto
No comments:
Post a Comment