Sep 21, 2010

MAMA SALMA KIKWETE AKIWA KOROGWE!!

Wagombea Ubunge kutoka jimbo la Korogwe Mjini Mkoani Tanga Yussuph Nassir (kulia) na Mgombea wa Jimbo la Korogwe vijijiniProf. Ngonyani Majimarefu wakitambulishwa kwa wanachama wa UWT 20-9-2010 katika mkutano wa ndani wa wanachama wa UWT anmapo Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete amezungumza nao kuhusu umuhimu wa kuja kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu ifikapo Oktoba 31 mwaka huu.Picha na Mwanakombo Jumaa.
Mama Salma Kikwete akiongea na wanachama wa UWT wa Wilaya ya Tanga mjini
Baadhi ya wagombe Udiwani kupitia CCM Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga wakitambulishwa na Mwenyekiti wa Taasisi ya Maendeleo ya Wanawake (WAMA) Mama Salma Kikwete 20-9-2010 katika mkutano wa ndani wakuongea na wanachama wa UWT wa wilaya hiyo kuhusu umuhimu wa kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 31,mwaka huu. Picha na Mwanakombo Jumaa
mtu na Mke wake walikuwa wanachama wa CUF lakini wamekihama chama cha CUF na kujiunga na CCM huko Kabuku Wilaya ya Handeni Mkaoni Tanga.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA