Wagombea Ubunge kutoka jimbo la Korogwe Mjini Mkoani Tanga Yussuph Nassir (kulia) na Mgombea wa Jimbo la Korogwe vijijiniProf. Ngonyani Majimarefu wakitambulishwa kwa wanachama wa UWT 20-9-2010 katika mkutano wa ndani wa wanachama wa UWT anmapo Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete amezungumza nao kuhusu umuhimu wa kuja kupiga kura kwenye Uchaguzi Mkuu ifikapo Oktoba 31 mwaka huu.Picha na Mwanakombo Jumaa.
Mama Salma Kikwete akiongea na wanachama wa UWT wa Wilaya ya Tanga mjini |
Baadhi ya wagombe Udiwani kupitia CCM Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga wakitambulishwa na Mwenyekiti wa Taasisi ya Maendeleo ya Wanawake (WAMA) Mama Salma Kikwete 20-9-2010 katika mkutano wa ndani wakuongea na wanachama wa UWT wa wilaya hiyo kuhusu umuhimu wa kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 31,mwaka huu. Picha na Mwanakombo Jumaa
No comments:
Post a Comment