Sep 21, 2010

MAKAMU WA RAIS WA SHIRIKA LA HABARI LA XINHUA -CHINA ATEMBELEA TANZANIA.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Clement Mshana (kushoto) akiwa ameongozana na Makamu wa Rais wa Shirika la Habari la Xinhua - China Mr. Liu Yue mara baada ya kumpokea jana usiku katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere.Katikati ni Mwakilishi wa shirika hilo nchini Tanzania Bi. Guo Chunju.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Clement Mshana akiwa katika mazungumzo mfupi na Makamu wa Rais wa Shirika la Habari la la Xinhua - China Mr. Liu Yue jana usiku jijini Dar es salaam mara baada ya kumpokea. Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Raphael Hokororo, Mshauri wa masuala ya siasa wa ubalozi wa China- Tanzania Mr. Fu Jiqun na Mwakilishi wa shirika Xinhua nchini Tanzania Bi. Guo Chunju.Picha na Aron Msigwa

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA