Dr. Kikwete anguruma Bumbuli
Mgombea Urais kwa tikiti ya CCM,Dr. Jakaya Kikwete akipokelewa kwa shangwe na umati mkubwa wa watu na wapenzi wa CCM wa jimbo la Bumbuli wilani Lushoto Jumatatu jioni katika uwanja wa mkutano wa Togotwe, Bumbuli.
Mgombea ubunge jimbo la Bumbuli, January Makamba
akimwaga sera baada ya kunadiwa na Mgombea urais kwa tiketi ya CCM,Dr. Jakaya Kikwete kwenye mkutano huo
Wana Bumbuli mkutanoni
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)
No comments:
Post a Comment