Aug 16, 2010

Uchaguzi mkuu wa TASWA wafana

Sehemu ya wanachama wa Taswa wakati wa uchaguzi mkuu huoWagombea wakisubiri matokeo

Wajumbe

Tom Chilala na wajumbe wengine mkutanoniJuma Pinto na Ibrahim Masudi 'Maestro' kabla ya matokeo kutangazwaMwenyekiti mpya wa TASWA na Kamati yake kuu

Vicheko wakati wa kusubiri matokeo

'Takukuru' nao walikuwepo kuangalia mambo....

Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi TASWA akitangaza matokeo

Mwenyekiti mpya wa TASWA Juma Pinto na viongozi wenzie

Wana TASWA mkutanoni

wana TASWA

Wajumbe wa TASWA mkutanoniUongozi wa TASWA uliomaliza muda wake katika picha ya pamoja

Chama cha waandishi wa habari za michezo nchini Tanzania, TASWA, kimefanya uchaguzi wa viongozi wapya baada ya uongozi wa zamani kumaliza muda wake wa miaka mitatu kama katiba inavyoelekeza. Katika uchaguzi huo viongozi wapya waliochaguliwa ni:

MWENYEKITI: JUMA PINTO
MAKAMU MWENYEKITI:
MAULID KITENGE
KATIBU MKUU:
: AMIR MHANDO
KATIBU MSAIDIZI:
GEORGE JOHN
MTUNZA HAZINA:
SULTAN SIKIRO
MSAIDIZI:
MOHAMED MKANGARAKWA
WAJUMBE: ELIUS KAMBIRI, GRACE HOKA, ZENA CHANDE, ALFRED LUCAS, OSMAN KAPINGA, SALUM JABA

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA