Kocha Denis Lungu akiwapa maelekezo wachezaji wa timu ya Taifa ya Pool wanaojiandaa na mashindano ya Dunia yanayotarajiwa kufanyika Novemba,8 2010 huko nchini Ufaransa.timu hii ina wachezaji nane (8) ambani ni Felix Atanas,Abuu Shaban,Godfrey Sway,Mohamed Iddy,Omar Akida,Godfrey Muhando,Aliakber Akberal na Arjuan Lavinja.ikiwa chini ya udamini mkubwa wa bia ya Safari Lager.
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Aug 27, 2010
Timu ya Taifa ya Pool Yaendelea Kujifua Kujiandaa na Mashindano Ya Dunia
Kocha Denis Lungu akiwapa maelekezo wachezaji wa timu ya Taifa ya Pool wanaojiandaa na mashindano ya Dunia yanayotarajiwa kufanyika Novemba,8 2010 huko nchini Ufaransa.timu hii ina wachezaji nane (8) ambani ni Felix Atanas,Abuu Shaban,Godfrey Sway,Mohamed Iddy,Omar Akida,Godfrey Muhando,Aliakber Akberal na Arjuan Lavinja.ikiwa chini ya udamini mkubwa wa bia ya Safari Lager.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ME MYSELF & I
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)
No comments:
Post a Comment