Aug 24, 2010

Rais Kikwete Akiwa Sengerema


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi katika kata ya Nyehunge jimbo la Buchosa,wilaya ya Sengerema leo mchana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na kumfariji msichana mwenye ulemavu wa ngozi aliyejitambulisha kwa jina la Rehema Mahaluko muda mfupi baada ya kuhutubia katika mkutano wa hadhara huko Nyehunge, wilayani Sengerema leo mchana.
(Picha na Freddy Maro)

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA