Aug 24, 2010

MKALI AMBAYE KIDUMU AMEKOPY NA KUPEST STYLE YA MELODY NA SAUTI YAKE.(LINEX - LINENGA)

O ten akiwa na LINEX wakiingia ndani ya uwanja wa taifa kuhudhuria moja ya matamasha ya muziki wa kizazi kipya siku za hivi karibuni.
anajulikana kama LINEX SUNDAY wengi humuita LINENGA ambaye kwa sasa anasumbua kwa ngoma yake inayokwenda kwa jina la MAMA HALIMA.

LINEX & O TEN wakiwa kwenye moja ya matamasha yao
linex

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA