Aug 3, 2010

MGOMBEA URAIS WA NCCRA MAGEUZI ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI!

Mgombea urais kupitia chama cha NCCR Mageuzi Bw. Hashim Spunda Rungwe akipokea fomu za kugombe urais kupitia chama hicho kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Lewis Makame wakati alipochukua fomu hizo katika ofisi za Tume ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, Katikati anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Tume hiyo Bw. Rajab Kiravu
Mgombea urais kupitia chama cha NCCR Mageuzi Bw. Hashim Spunda Rungwe akisaina fomu zake za kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR Mageuzi mara baada ya kuchukua katika ofisi za Tume ya Uchaguzi leo kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Rajabu Kiravu.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA